Ndoa Yangu Ilivunjika Baada Ya Miez 6 Niliumia
Jana Kupitia Lavidavi tulikuwa na Mchambuzi Maarufu mwenye ushawishi mkubwa katika soka Tanzania Kijana Mwenye Umri wa Miaka 32 ambae ni Kipenzi cha mabinti AliKamwe ambae alifunguka mengi sana skiza hii
lakini Pia Tulizungumzia issue yake na Manara ambayo kwa busara sana alimuomba Msamaha na baadae Manara alisema kwenye comment zangu na kupost kama Yameisha
skiza hii
hatukuishia hapo Pia Nilitaka kujua Mcheza Mpira bora kwa Mwaka Kwake ni Nani Kati Ya Mayele na Chama Na alimchagua Fiston Mayele. show nzima ile livestream iko na copyrights grounds sababu Pia Ilikuwa ni kupiga wimbo na tayar inashughulikiwa leo jion uta enjoy yote ya masaa 2




Maoni
Chapisha Maoni