Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Machapisho

Kilichoangaziwa

CCM yatangaza ratiba ya vikao vya kitaifa jijini Dodoma kuanzia Agosti 21, 2025

Vikao hivyo, vinavyoongozwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, vitahusisha Kamati Kuu (CC) na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC). Ajenda kuu: ✅ Uteuzi wa wagombea Ubunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ✅ Wagombea wa Viti Maalum ✅ Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar ✅ Wajumbe wa Viti Maalum vya Baraza la Wawakilishi Vikao hivi vinatazamwa kama hatua muhimu kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, vikitarajiwa kuvuta hisia kubwa kutoka kwa wanachama na wananchi kwa ujumla. #DivaMediaAfrica #CCM #Dodoma #Uchaguzi2025

Machapisho Mapya Zaidi

MBOSSO NA BABALEVO VITANI

USIJE UKADHUBUTU KURUDI KWA EX MWENYE SUMU

HAKUNA MBADALA WAKE

A Glass Of Wine After Dinner is My New Secret

ZUCHU MPYA NA AMANDA

Karibun Hapa Kuendeleza Lifestyle blogging

Ladies Move On Pls

TAYLOR SWIFT NDANI YA JUMBA LA KIFAHARI LA MPENZI WAKE

DIDDY OUT ...ILLUMINATI EATING HIM ALIVE

NAIRA MARLEY YUKO HURU