MBOSSO NA BABALEVO VITANI


Mbosso ameamua jana kuvunja ukimya kwa kuomba Babalevo aonywe sababu amekuwa akimfatafata na Maneno sana ameongezea leo hii hata akikusoa Mungu ambariki sana zaid ya hapo amechukizwa sana
na vitendo vya babalevo 
Chanzo ni babalevo kudai anaomba Mashairi na Melodi za Wimbo wa Pawa zirudishwe sehemu husika 

Maoni

Chapisha Maoni

Machapisho Maarufu